Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi ya Sogea Satom ya nchini Ufaransa
inayojenga barabara kati ya Arusha - Minjingu, mkoani Manyara wakiwa nje
ya lango la Ofisi eneo la Kisongo, wilayani Arumeru mkoani Arusha
jana,baada ya kugoma wakidai kupunjwa malipo na kufanya kazi zaidi ya
muda wa kazi.
“Hatuwezi kufanyakazi katika mazingira ya namna hii,huu ni unyanyasaji wa hali juu,Rais Kikwete alizindua barabara hii lakini hata wiki mbili hazijaisha tunanyanyaswa,” alisema Omary Athuman.
“Hatuwezi kufanyakazi katika mazingira ya namna hii,huu ni unyanyasaji wa hali juu,Rais Kikwete alizindua barabara hii lakini hata wiki mbili hazijaisha tunanyanyaswa,” alisema Omary Athuman.
mgomo
Reviewed by bongo qualities
on
3:32 PM
Rating:
